Chadema

Chadema смотреть последние обновления за сегодня на .

KIMENUKA! UKWELI WOTE WAZI SAKATA LA WABUNGE 19 CHADEMA YALIYOFICHWA YAFICHULIWA KUMBE NI NJAMA

2557
9
9
00:03:17
05.06.2023

KIMENUKA! UKWELI WOTE WAZI SAKATA LA WABUNGE 19 CHADEMA YALIYOFICHWA YAFICHULIWA KUMBE NI NJAMA 🤍 #chadema #raissamia #mbowe #tundulissu #live #godblesslema #ccm #kigogo #siasa #breaking rais samia,habari tanzania events,dar es salaam,uwanja wa mkapa,global tv online,tanzania news,tanzania makutukio,tanzania eastafricaradio,habari mpya,clouds tv,clouds fm,clouds digital,bongo fleva,adam mchomvu,leo tena,power breakfast,trafik jamz,diamond platnumz,ceo simba,sakata la wabunge wa viti maalumu,spika tulia kuhusu uhalali wa wabunge 19 wa chadema,kumekucha! wabunge 19 wa chadema watolewa tamko na spika tulia,democratic republic of congo,chama cha demokrasia na maendeleo,spika wa bunge,the story book,bongo chap chap,voice of america,matukio ya dunia,east africa tv,friday night live,east africa radio,nay wa mitego,uchaguzi wa spika,supa breakfast,kipenga xtra,planet bongo,drive show,the cruise,global radio,wabunge 19,wabunge 19 wa chadema leo,wabunge 19 viti maalum chadema,wabunge 19 wa chadema mahakamani,wabunge 19 wa chadema,kesi ya wabunge 19 wa chadema,hatima ya wabunge 19,hukumu ya wabunge 19,sakata la wabunge 19,mbowe kuhusu wabunge 19,majina ya wabunge 19 wa chadema

CHADEMA yatoa kauli kipigo cha YANGA, MWALIMU agusia Muungano

3631
17
3
00:10:51
30.05.2023

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Zanzibar) Salum Mwalimu amewataka watanzania kuweka tofauti zao za ushabiki pembeni na kuitia moyo timu ya Yanga ili iweze kuifunga Klabu ya USM Alger ya nchini Algeria baada ya kuambulia kipigo nyumbani cha Mabao 2-1. Mbali na kauli hiyo, Mwalimu aliwataka watanzania kuungana na Chadema kudai Katiba Mpya kwani itasaidia kutoa majibu ya madhaifu yaliyoko katika Serikali ya Muungano huku akitahadharisha kwamba lengo la kufanya hivyo siyo kuvunja muungano.

CHADEMA yawaka WANANCHI kutozwa michango, MBOWE asema 'TUMEAMUA'...

1898
15
2
00:07:33
27.05.2023

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amesema tathmini inaonyesha kila sehemu anayopita kufanya mikutano ya hadhara wananchi wanalalamikia michango jambo alilotaja linasababishwa na kukosa uongozi unazingatia matakwa ya watu. Akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Masoke wilayani Urambo mkoani Tabora, Mbowe amewataka wananchi kujiunga na Chadema kudai Katiba Mpya itakayowezesha kuiondoa CCM madarakani ili kuondokana na usumbufu huo

Tanzania: Chadema party seeks to reach "all wards and villages" after rally ban lifted

1223
11
9
00:01:25
22.01.2023

Tanzania's main opposition party has held a political rally after a ban, imposed by former president Magafuli, was lifted by current leader Samia Hassan READ MORE : 🤍 Subscribe on our Youtube channel 🤍 and receive all the latest news from the continent. Africanews is available in English and French. Website : 🤍africanews.com Facebook : 🤍 Twitter : 🤍 #AfNews

CHADEMA yaing'ata sikio SERIKALI " Haiwezekani mtu mwenye PHD hajui lugha ya KIINGEREZA"

3109
10
4
00:07:06
02.06.2023

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #mbowe

CHADEMA WATEMA CHECHE kwa SERIKALI KUHUSU BEI MPYA ya PAMBA....

533
3
1
00:05:07
02.06.2023

CHADEMA WATEMA CHECHE kwa SERIKALI KUHUSU BEI MPYA ya PAMBA.... Baada ya serikali kupitia bodi ya pamba kutangaza bei mpya ya zao la pamba kwa mwaka 2022\2023, mwenyekiti wa CHADEMA Bariadi kupitia mkutano uliofanywa katika mji wa Bariadi, amesimama na kueleza kuwa bei elekezi haziwanufaishi wakulima wa zao hilo na kwamba haya yote yana sababishwa na kukosekana kwa katiba mpya. ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: globaltvonlinenews🤍gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: 🤍 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: 🤍 ⚫️ GLOBAL RADIO TV: 🤍 ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: 🤍 ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: 🤍 ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:🤍 ⚫️ iOS:🤍

#LIVE: Nondo za CHADEMA sera mpya ya Elimu, SIMBA na YANGA zatajwa " Watanzania hatujasoma kabisa"

642
3
0
00:40:32
02.06.2023

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #mbowe

LIVE: OPERATION +255 KATIBA MPYA KIBONDO MJINI - MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA

3092
30
2
01:22:23
20.05.2023

Powered by Restream 🤍 Powered by Restream 🤍

CHADEMA: Kuwasema POLISI tunawaonea, MBOWE asema viongozi wameshiba, wanatapika

8675
51
13
00:16:04
25.05.2023

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Zanzibar) Salum Mwalimu amewataka wanachama wa chama hicho kuacha kulitupia lawama Jeshi la Polisi kuhusiana na matukio ya uminywaji wa Demokrasia na uhuru wa kujieleza nchini. Salum ametoa kauli hiyo jana kwenye mkutano wa hadhara wa Chadema uliofanyika katika uwanja wa Kasekese wilayani Tanganyika mkoani Katavi kwa kile alichodai maofisa hao walikuwa wakitekeleza maagizo ya waajiri wao. Hata hivyo, Salum amewataka maofisa wa jeshi hilo kutokubali kutumiwa na wanasiasa hasa wakati wa kampeni na uchaguzi badala yake wasimamie haki na uhuru wa watanzania bila kujali tofauti zao za kisiasa.

LIVE: UZINDUZI WA OPERATION +255 KATIBA MPYA KIGOMA

8059
62
7
02:37:02
17.05.2023

Powered by Restream 🤍

TAZAMA Uzi mpya wa Chadema utakaozinduliwa na Mbowe

658
4
1
00:04:38
16.05.2023

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinatarajia kuzindua sare yake mpya itakayotumika katika 'Operesheni +255 Katiba Mpya' yenye lengo la kupigania Katiba Mpya. Uzinduzi wa Operesheni na sare hizo utafanyika kesho Mei 17,2023 katika uwanja wa Mwanga Sokoni wilaya ya Kigoma Mjini mkoani Kigoma ukiongozwa na Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe. Mbali na Mbowe, viongozi wengine watakaoshuhudia uzinduzi huo ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, Katibu Mkuu bara, John Mnyika, Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalim, Naibu Katibu Mkuu bara, Benson Kigaila, viongozi wa Kamati Kuu ya Chadema na viongozi waandamizi wa chama hicho. Mwananchi Digital imevujishiwa sare hizo ambazo zina nembo ya Chadema na kuchapishwa maneno yanayosomeka '+255' na Hashtag (#Katiba Mpya) huku zikiwa zimetengenezwa kwa rangi mbalimbali za chama hicho ikiweno nyeupe, nyeusi, nyekundu na kaki.

MBOWE Aanza MASHAMBULIZI / AJIBU Kuhusu CHADEMA 'KUSUSIA' RUZUKU "Hatuendeshwi na Fedha"

71438
358
84
00:03:51
04.01.2023

WATCH WASAFI TV📺 AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM 📻 88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻 Follow Us On: INSTAGRAM: 🤍 || 🤍 TWITTER: 🤍 || 🤍 FACEBOOK: 🤍 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm

MAAJABU!!! YANGA yakwamisha mkutano wa Chadema, MWALIMU asema....

1047
6
0
00:01:37
28.05.2023

Katika hali isiyokuwa ya kawaida Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelazimika kuahirisha mkutano wake wa hadhara ili kutoa fursa kwa wananchi kwenda kushuhudia mechi ya Yanga dhidi ya USM Alger ya nchini Algeria. Mkutano huo wa hadhara unaofanyika ikiwa ni mwendelezo wa Operesheni +255 Katiba Mpya ulitakiwa kufanyika jana katika uwanja wa Line Polisi wilayani Nzega mkoani Tabora ambapo mbali na kuahirisha mahudhurio ya wananchi hayakuwa ya kuridhisha huku mechi hiyo ikitajwa kuwa sababu. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe ametua katika uwanja huo kwa kutumia Helkopta Saa 10:15 jioni akiwa ameambatana na viongozi waandamizi wa chama hicho akiwemo Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Zanzibar), Salum Mwalimu. Akitangaza ahirisho hilo, Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar), Salum Mwalimu amewaeleza wananchi waliohudhuria mkutano huo kuwa kwa kuzingatia umuhimu wa mechi ya Yanga kwa taifa wamelazimika kutoa fursa kwa wananchi kufuatilia mchezo huo.

🔴#Live: MKUTANO MKUBWA wa CHADEMA KATAVI, TUNDU LISSU, MBOWE WAFUNGUKA MAZITO MBELE ya WANANCHI...

4600
28
7
01:17:52
23.05.2023

🔴#Live: MKUTANO MKUBWA wa CHADEMA KATAVI, TUNDU LISSU, MBOWE WAFUNGUKA MAZITO MBELE ya WANANCHI... CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameendelea na mkutano wa hadhara Mkoani Katavi.... ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: 🤍 ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:🤍 ⚫️ iOS:🤍 ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: 🤍 ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: globaltvonlinenews🤍gmail.com OR abbymrisho🤍gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: 🤍 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: 🤍 ⚫️ GLOBAL RADIO TV: 🤍 ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: 🤍 ⚫️ Subscribe Global TV 🤍

MBOWE amtuma ujumbe kwa KAFULILA, waliokimbia Chadema "Walirushiwa mahindi, watarejea"

17978
86
28
00:10:52
23.05.2023

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amewatakia heri viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani waliojivua uanachama wao na kuunga juhudi za CCM huku akisema anaamini siku moja watarejea na kuendeleza harakati za upinzani nchini.

UTASHANGAA! Helikopta ya Chadema kuruka Kigoma, Mrema asema..

6975
48
8
00:06:55
15.05.2023

Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema ametembelea eneo la "Ngome ya Urusi" ambalo ni ngome ya chama hicho na kuhamasisha wananchi kujitokeza kwenye uzinduzi wa "Operesheni 255 Katiba Mpya". Uzinduzi wa Operesheni hiyo utafanyika Jumatano Mei 17 mwaka huu katika uwanja wa Mwanga Sokoni mjini Kigoma na kuongozwa na Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti, Tundu Lissu.

Mbowe afunguka sababu za CHADEMA kutosambaratika," Wengine wameunga juhudi"

2914
24
3
00:15:04
26.05.2023

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kutotumia mabavu kupambana na changamoto zinazowakabili wananchi badala yake hekima itumike ikiwemo kutoa elimu na ushirikiashwaji ili kupata ufumbuzi wa changamoto hizo ikiwemo migogoro ya ardhi. Pia amesema Chama hicho kitaendelea kushirikiana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia maridhiano ili kuhakikisha changamoto zinazowatesa Watanzania zinatatuliwa. Ametoa kauli hizo alipokuwa akihutubia wakazi wa Katavya Usevya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi katika mkutano wa hadhara wa Operesheni +255 Katiba Mpya huku akisisitiza kwamba pamoja na ushirikiano huo wataendelea kudai Katiba Mpya ambayo ni mwarobaini wa kudumu wa changamoto hizo.

CHADEMA NA MAPOKEZI YA LISSU TANZANIA YALIVYOIVA KILA KONA

39856
87
8
00:03:20
24.01.2023

Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ; Subscribe to our Youtube Channel : 🤍 Facebook : 🤍 Twitter : 🤍 Instagram : 🤍

Vigogo Chadema waiteka Kigoma, shuhudia A-Z mkutano utakapofanyika...

2531
16
6
00:10:25
16.05.2023

Kigoma. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinatarajia kuzindua 'Operesheni +255 Katiba Mpya' yenye lengo la kupigania Katiba Mpya. Uzinduzi wa Operesheni hiyo utafanyika kesho Mei 17,2023 katika uwanja wa Mwanga Sokoni wilaya ya Kigoma Mjini mkoani Kigoma ukiongozwa na Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe. Mwananchi Digital imefika hadi katika uwanja wa Mwanga Sokoni na kushuhudia maandalizi yakiendelea ikiwemo ujenzi wa kujwaa litakalotumiwa na viongozi wakati wa uzinduzi huo ambapo Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema

Chadema yaanza 'kufukuzia' sehemu ya ruzuku waliyoisusia

246
2
0
00:02:21
07.03.2023

Ikiwa zimepita siku chache tu baada ya Chama cha Demokraia na Maendeleo (CHADEMA) kuanza kupokea ruzuku kutoka serikalini, chama hicho kimesema kitaendelea kufanya mazungumzo na Serikali kuona kama kitastahili kupata sehemu ya ruzuku ambayo kilikuwa kimeisusia kutokana na madai kuwa uchaguzi mkuu uliopita ulikuwa batili. #AzamTVUpdates #Chadema #RuzukuChadema

CHADEMA WAGOMEA MWALIKO WA MSAJILI WA VYAMA KUJADILI KATIBA MPYA/WATOA TAMKO ZITO

3813
18
14
00:01:52
25.05.2023

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 767 400402) 🔘Email: mwanahalisitvnews🤍gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: 🤍

Chadema yatoa kauli mgomo wa Wafanyabiashara Kariakoo, Mbowe asema...

7849
32
1
00:05:04
17.05.2023

Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe amesema chama hicho kinaungana na wafanyabiashara waliogoma kuuza bidhaa na kufunga maduka yao katika Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam kupinga utitiri wa kodi. Pia amelipongeza Baraza la Wanawake wa Chadema (Bavicha) kwa kufanya maandamano kwa kile alichodai ni kukua kwa Demokrasia na uhuru wa kujieleza

NGOMA NZITO, WAPINZANI NA HOJA 1,000 ZA MIAKA SABA / CHADEMA KUTUMIA RUZUKU KUZUNGUKA NA CHOPA

1353
8
0
00:01:54
11.01.2023

NGOMA NZITO, WAPINZANI NA HOJA 1,000 ZA MIAKA SABA / CHADEMA KUTUMIA RUZUKU KUZUNGUKA NA CHOPA WATCH WASAFI TV📺 AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM 📻 88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻 Follow Us On: INSTAGRAM: 🤍 || 🤍 TWITTER: 🤍 || 🤍 FACEBOOK: 🤍 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm

Назад
Что ищут прямо сейчас на
chadema 신인 криминальный авторитет япончик 찬이 niache new vibe 白宫 abir submachinegun zxc Landing Page vencedora amina Камызяк Six major blue food CS GO Pros Answer esquire magazine CIS 음각 Omar Oraby